Githinji, Peter
(South Eastern Kenya University, 2024)
Tunapokaribia karne moja ya usanifishaji wa Kiswahili, ni dhahiri kuwa ni wachache wanaoongea Kiswahili Sanifu katika mataifa ya Afrika Mashariki na Kati. Hili linatokana na kuwa idadi kubwa ya wakazi wa ukanda huu hujifunza ...