Yobu, Judith; Mturo, Neema; Ngesu, Sarah N.
(South Eastern Kenya University, 2024)
Makala hii imechunguza ujitokezaji wa nomino za Kiswahili zinazoibua maana za kitashibiha katika riwaya ya Zawadi ya Ushindi na Watoto wa Maman’tilie. Data zilipatikana kwa uchanganuzi matini maktabani kwa usomaji makini ...