Khamisi, Daud; Mturo, Neema; Ngesu, Sarah N.; Msigwa, Arnold
(South Eastern Kenya University, 2024)
Makala hii inachanganua mbinu zinazotumika katika kufundisha Kiswahili kama lugha ya kigeni ili kuwezesha uzingativu wa utamaduni jamii. Tafiti mbalimbali zimeonesha mchango wa mbinu za kufundishia lugha kwa wajifunzaji ...