Please use this identifier to cite or link to this item: https://repository.seku.ac.ke/handle/123456789/8049
Full metadata record
DC FieldValueLanguage
dc.contributor.authorKhamis, Tatu Y.-
dc.contributor.authorJumanne, Arafa-
dc.date.accessioned2025-05-15T08:18:41Z-
dc.date.available2025-05-15T08:18:41Z-
dc.date.issued2024-
dc.identifier.citationDira ya Lugha, Juzuu 1, Na. 1, 70-80, 2024en_US
dc.identifier.issn3079-3882-
dc.identifier.urihttps://jadilu.seku.ac.ke/index.php/jadilu/article/view/27/33-
dc.identifier.urihttp://repository.seku.ac.ke/xmlui/handle/123456789/8049-
dc.description.abstractMakala hii inajadili ontolojia ya nafsi katika riwaya teule za Muhammed Said Abdulla kwa kujiegemeza katika kipengele cha kani. Kimsingi, kila mwanadamu ana nafsi. Nafsi ni kipengele kinachotazamwa kama uhai, roho pamoja na moyo (Kaponda, 2018). TUKI (1981) wanafasili dhana ya nafsi kuwa ndiyo roho au kiini cha dhati ya jambo husika. Hivyo, nafsi huongoza hali ya kupumua na kuupa uhai mwili wa mwanadamu. Aidha, kila nafsi inaongozwa na kani ambayo aghalabu huwa ni fiche. Data za msingi zilizofafanuliwa katika makala hii zimepatikana maktabani na uwandani kwa kutumia mbinu ya usaili na uchambuzi wa maandiko. Nadharia ya Nje- Ndani ilitumika katika kuongoza mjadala. Matokeo ya mjadala yanaonesha kuwa nafsi kiontolojia haiwezi kuonekana lakini kani yake inabainika katika matendo, lawama, kupaparika, kutulia na kuamrisha maovu. Ithibati ya matokeo haya yametolewa kutoka katika riwaya tatu za Muhammed Said Abdulla ambazo ni Duniani Kuna Watu, Kosa la Bwana Msa, na Kisima cha Giningi.en_US
dc.language.isoenen_US
dc.publisherSouth Eastern Kenya Universityen_US
dc.subjectKanien_US
dc.subjectNafsien_US
dc.subjectOntolojiaen_US
dc.titleOntolojia ya nafsi katika riwaya teule za Muhammed Said Abdulla: Uchunguzi wa kikanien_US
dc.typeArticleen_US
Appears in Collections:School of Humanities and Social Sciences (JA)

Files in This Item:
File Description SizeFormat 
Khamis_Ontolojia ya nafsi katika riwaya teule za Muhammed Said Abdulla....pdfabstract3.68 kBAdobe PDFView/Open


Items in DSpace are protected by copyright, with all rights reserved, unless otherwise indicated.