Muthui, Evelyn Kakivi
(2019-07-17)
Utafiti huu uliongozwa na lengo la kutathimini maudhui kwenye tamthilia tahininiwa za karne ya ishirini na moja na kuyalinganisha na matukio halisi katika jamii.Mtafiti pia alitakikana kubaini ufaafu na uhalisi wa maudhui ...